Friday, February 26, 2016

VIATU VYA AINA MBALIMBALI

 

soka

big mech kat ya arsenal na man utd siku ya j pili ni mechi kali san ya kuchuana kwa  wababe hao
wawili watachuana vikali siku hiyo

Wednesday, February 24, 2016

YANGA YAMLAZA MTANI WAKE MABAO 2-0
yanga imeona nyota kwa kuilaza mtani wake kwa bao mbili kwa bila katika uwanja
wa taifa siku ya j mamosi.na kuondoka na point tatu mkononi simba yaliucheza mchezo
wa wakiwa pungufu baada ya mchezaji wake habdi banda kupewa kadi nyekundu na kushindwa kumiliki mchezo huo